Historia ya Kampuni
Baada ya kufanya kazi migodini kwa muda mrefu kama mafundi na washauri, hatuna budi kuwa wawezeshaji makini katika swala Zima la UCHIMBAJI MADINI.
Tangu mwaka 2009 tunajenga shafts kwa zege na kwa timba, tunatengeneza makarasha na minara, kwa bomba na kwa channels. Kwa makampuni ya uchimbaji na wachimbaji binafsi.
Ofisi kuu ipo Saza, Songwe, Tanzania. Tunahudumia maeneo ya Chunya, Saza, Itumbi, Mwanza, Katavi, Tanga, Shinyanga, na Geita.
Picha ya Ofisi